TONGE LILILOTAKA KUNIPOKONYOKA.
MCHUMBA WANGU ALIMUONA MAMA AKIBUSIANA NA MWANAUME MWINGINE (MCHEPUKO WA MAMA) NYUMBANl KWETU AKAHISI VIBAYA NDIPO AKAOMBA TUVUNJE UCHUMBA.
Habari za Leo👋 ndugu wasomaji naomba niitwe Brianna Johnson, mimi ni msomi 👨🎓wa Chuo kikuu cha Dar es salaam Kampas ya Mlimani. Katika ujanajike wangu nilipata mpenzi👩❤️💋👨 mwanaume wangu wa mtima.😍 Kwa jinsi tulivyopendana na kushibana hatukua na mfano wa mapenzi yetu Duniani.💕🫶
Basi wapenzi wasomaji📃 ngoja niwaambie kisa na mkasa ulionitokea mie hadi nikazoa aibu🙈 na fedhea iliyopelekea mahaba yetu kuingia dosari lakini ninashukuru Mola wangu kwa busara na hekima niliokoa tonge lililotaka kunipokonyoka mdomoni.🥹
Likizo ya Christmass🌲⛄ na mwaka mpya nilimwita Amour mpenzi wangu wa moyo na roho yangu twende kufurahia Maisha nyumbani kwa Baba na Mama yangu Mr and Mrs Johnson. Nyumbani kwetu ni Mbezi Beach🌊🏖️ kule matajiri wajimwaga na kujimwambafai, kule wenye hella hawajarogwa, kule kwenye Nyota✨💫 na Nyota ya mapesa💶💰, tukaenda pamoko 👫💑na wangu wa mtima🤩😘
Chakula🍜🍔🍱🍲 kizuri kiliandaliwa ajili yetu, Mama alipika na kupakua, tukala a kunywa kwa furaha. Siwafichi Wapenzi Babaangu na Mamangu walimpenda sana Amour wangu Kwa jinsi alivyokua mpole, huruma,uzuri, wema na ucheshi wake. Nyumbani akakaribishwa.
Kama kawaida usiku tuliingia kulala, si mwajua tena kwenye Nyumba za watoto wa kishua uhuru hauna mipaka, Mie Brianna nikalala 🛌na Daring wangu Amour, wangu auburuzaye moyo💝, Huba la mahaba na mapenzi. Ok tuendeleze Libeneke. Saa sita🌆⏱️ usiku yaani usiku wa Popo 🦇Bundi 🦉 na Walozi 👹pamoja na mashetani. 😈Daring Amour alijidamsha kitandani kwa lengo la kwenda Maliwato🚽 kuchimba dawa, niliruhusu 'Nenda Baby, nenda kakojoe tulale, tena kojolee ndani Baby nje mwiko'😄😉
Wangu wa mtima 🫶akaenda nje kuchimba dawa lakini mmh! Sijui niseme naona mfadhaiko🥹😐😔 lakini wacha niwape ubuyu.😋 Amour alipotoka nje kuelekea choo cha Public alishtuka 😶mara baada ya kukutana na kihoja Cha Mwaka.
'Eeh! 😶🌫️🫣Jamani, eeeh! Aibu naona mimi 🙈' Alimkuta Bi. Mkubwa yaani Mama'ngu mie kasimama Bustanini, mwanaume mmoja mzuri tanashati alikua bize akimnyonya👩❤️💋👨😚 Mama yangu ndimi, sketi ya Mamangu ikiwa imepandishwa juu kutoka kwenye magoti hadi kiunoni Jogoo msumbufu, Jogoo🍆 wa yule kidume alikua amesimama na kutoka kwa kasi kutoka ndani ya kiroba hali iliyomfanya aanze kuwika wakati huo Mamangu alikua akifurahia mawiko ya yule Jogoo kijana.
Ok. Wapenzi labda sijaeleweka basi ngoja nilifafanue muelewe.🫴
Babaangu, Baba mzazi alikua amelala chumbani Hana hili Wala lile, kalapozi na Muziki wa Bongofleva 🎶📻wamkonga nyoyo masikioni kwake aliburudika na kuifurahia siku yake wakati huo Mpenzi Mamangu alikua akiinjoy nje pamoja na mgeni ambaye nikili kwa kusema simjui na hata wewe mpenzi msomaji haumjui.
Baya zaidi Mama'ngu mie alikua akichepuka na kufurahia mahaba ya mwanaume mwingine wakati Baba wa mie Brianna akiwa anakula Muzik uliomburudisha angarau umpe usingizi wa fofofo💤💤😴 . Ok.Wapenzi Amour wangu alipoona kile kitendo Cha Mamangu kula wali mwingi na yule kijana alishtuka sana, alitetemeka na kuogopa, hakutegemea kama mamamkwe wake waliekua wanacheka pamoja muda mfupi uliopita angelifanya kitendo cha usaliti ilihali Ba. Mkwe mtarajiwa amelala, Muzik wa Bongo fleva ukimburudisha.🕺
Amour wangu alipoona kile kitendo Cha uvunjifu wa amri ya sita kwanza alishtuka Mamangu pia alishituka macho yao yalipogongana.🫣😱 Mama aliohopa akamuacha yule mzuri na mtanashati wake ili aondoke maana mambo tayari yameisha haribika. Yule mzuri na mtanashati wa Mamangu aliondoka kwa wingi wa aibu.
Amour alirejea chumbani kwangu, USO wake ukiwa umefuta, domo mnuno, huzuni na kupandwa hasira. Sikujua tata linalomsibu ila niliona sio busara kuketi kimya ukiwa wangu wa moyo anata linalomuwasha moyonii. Nikauliza: 'Mbona hivyo mpenzi umeondoka ukiwa na Amani afu' unarudi ukiwa na vita moyoni' Amour hakutaka kunifucha, akanieleza hajapendezwa na mwenendo wa Maisha ambayo Mamangu anaishi. Mpenzi wangu Amour akaanza kuforce kuondoka nyumbani kwetu kwa madai kwamba hatoweza kulala pale nyumbani ni Bora aelekee Hoteli maana kitendo alichokiona usiku wa Leo kilimkera.
'Mmh! Mwenzangu mbona mtihani! Usiku wa Popo 🦇 na Bundi 🦉 tungelipata wapi Hoteli 🏨, tungelipata wapi ujasiri wa kutembea Barabara zilizojaa 'Panya rodi', wachinjaji, wanyang'anyi na wabakaji. Ok. Nikamuuliza Daring Amour embu nipe kisa na mkasa wa wewe kutaka kuondoka nyumbani, Nini umeona na Nini kimekuchachafya? Daring Amour akanieleza:
"Sjapenda Mamako anachepuka, sjapenda tabia ya Mama mkwe kutembea na Vibenteni, dogodogo, siapenda tabia ya Mamako kumsaliti Babako.' Sikumshangaa kwa kauli yake nikamwomba anipe maelezo zaidi.
"Embu mwenzangu acha kunifucha kimafumbo nisimulie zaidi." Akaniambia;
"Nimemfumania Bibi Mama mkwe akivunja amri ya sita pamoja na dogodogo." Jamani aibu😱🙈🙊
Maneno ya mpenzi wangu Amour hayakuwa na walakini, sababu kipindi nikiwa kidato cha sita 📖niliwai kumleta shoga'ngu Mwanaakida, siku kama ile ambayo mpenzi wangu Amour aliomba kwenda Toi 🚻ndiyo Mwanaakida aliomba ruhusa ya kwenda Toi kujisaidia haja ndogo.
Mwanaakida alipotoka nje ya Bustani alijikuta anapigwa butwaa 🤭macho yalimtoka pima kama Jusi 🦎lililibanwa. Mlangoni hata mkojo aliotegemea kuumwaga kule Public Toilet ulishindwa kumtoka zaidi ya kurejea ndani ya kibofu. Kwa kasi na kwa kuogopa aliingia chumbani kwangu akiwa anahema kama mgonjwa aliyepandwa Presha.
"Mimi Mwanaakida mbona wahema kama mwizi aliyeshitukizwa?" Nilimuuliza, hakunijibu zaidi ya kuangalia lango aliloingilia.🚪
"Kuna tatizo nje." Nilijisemea mtimani Nikanyanyuka kutoka kitandani nikiwa sijiamini, hofu ilinikumbata nilihitaji kutoka nje nikatafute taarifa au fununu zilizomsibu Mwanaakida hadi atoke nduki.
"Tafadhali usiende nje!" Alinizuia, akanishika mkono. "Keti kitandani nikueleze." Nilimtii nami niliketi kitandani nikisubiri anipe maelezo.
"Hivi Baba yako anafanyaga ngono usiku Mama yako akiwa amelala?" Sikuielewa kauli yake ilibidi nimuulize
"Mwaya mbona sikuelewi Kwani Baba amefanya Nini?" Mwana alipumua kwa nguvu Kisha akaniambia jambo lilionishtua kwa kweli.
"Ninaogopa kukueleza Rafiki yangu ninahisi nitakuvunjia heshima, nilichoona ni kizito kusimulia." Aliongea
"Nimemkuta Baba Yako akiwa Bustanini pamoja na Binti mrembo wa kuvutia wakiwa wanafanya ngono. Baya zaidi Baba Yako yupo uchi wa mnyama kamlalia kifuani huyo Binti. Uzuri, hawajaniona "
"Mwanaakida hili jambo ni geni masikioni kwangu😼, sijawai ona Baba akifanya hivyo na kwanini afanye tendo hilo nyumbani sio pahali pengine kama Hoteli au Guest room!?" Nilijikuta namuuliza Mwana maswali asiyoweza jibu.
"Nijibu Nini mwaya, embu tuyaache na tulale, itakua ni jambo la aibu iwapo utafanya kwenda kuuchungulia uchi wa Babako." Mwanaakida aliongea. Siku ile sikupata usingizi zaidi ya kuyashangaa maneno aliyonena Mwana.
,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,
'Ngo ngo ngo!' 🤛Sauti ya mlango wa chumba changu ilisikika.
'Ngo ngo ngo' 🤜Mgongaji aliendelea kugonga. Sikuhtaji kuuliza ni nani agongaye. Nilielekea kufungua mlango nilipoufungua mlango nilikutana na sura ya Mama.
"Brianna nakuomba uje mara Moja sebuleni tuna maongezi nawe." Mmh! Niliguna kumoyo sababu lile neno tuna maongezi nawe halikua na umoja bali wingi.
"Sawa Mama." Nilimjibu Mama mpenzi. Nikaufunga mlango wa chumba changu na kuelekea alipoketi mpenzi wangu nikamweleza, 'Mama ana maongezi na mimi.'
"Nenda tu kaongee naye." 🖐️Alinijibu kama vile hataki kuongea na mimi Wala kutazamana nami. Nikaelekea Sebuleni nilikomkuta Mama na Baba wameketi pamoja wamekosa furaha huzuni tu imewatawala. Haswa Mamangu aliyekwishatafuna aibu.
Baada ya kuketi Ma' alianzisha maongezi.😌
"Tunajua mchumba wako amekueleza jambo aliloliona usiku wa Leo Bustanini"
"Yes Ma' lakini kwanini wewe mtu mzima uliyenizaa wajishusha heshima mbele ya mtoto mdogo uliyemuokota Barabarani." ⁉️Mama alishindwa kujibu. Baba akamsaidia kujibu.
"Uhuru Brianna, uhuru ndio Mama yako amechagua kufanya jambo lile." Nilimshangaa Dady.
"Kwahiyo Dady na wewe unaunga mkono tendo la Mama kutembea na kibenteni?" ❓❔Nilihoji.
"Yes of course. La zaidi Mama yako hachepuki Bali anafanya kwa uhuru tuliokubaliana"
"Uhuru mliokubaliana? Ni aina gani hiyo ya uhuru ambao Mama anakubali kumuacha Baba amelala kitandani kisha kwenda kufanya ushenzi na dogodogo." Nilizidi kuwachimba.
"Brianna uhuru wetu haujaanza Leo, uhuru wetu ni wa siku nyingi mwanangu. Mimi na Baba Yako tulikubaliana tupendane, tuheshimiane na kutoingiliana mambo. Tulikubaliana kufanya jambo ambalo kamwe halitamuumiza mwengine." Mama alimeza mate Kisha akaendeleza Lecture yake.
"Tulikubalia kila mmoja apatapo mtu wa nje amlete nyumbani, 🏡amtambulishe, mgeni huyo ale 🥣🥦, anywe ☕🥤atakavyo kisha akiridhika aingie chumba cha wageni alale 🛌na yule aliyemleta. Kwa mfano iwapo Baba Yako amepata mwanamke mzuri, mstaarabu sio Malaya amlete huyo mgeni kula na kunywa kisha usiku huo alale na Baba yako vivyo hivyo kwangu pia." Hakika yale maneno yalinishtua, mambo haya ya wazungu yatafuta Nini Africa!?
"Jesu!" Fedhea gani hii Babaangu ina maana na wewe waleta nyumbani dogodogo waje kula kunywa na kufanya zinaa?" Nilimuuliza. Majimaji ya machozi yakiwa yamejaa machoni.🥹
"Hatukufichi tena mwanetu huo ndio uhuru wetu." Machozi yalinibubujika.🥲
"Kwanini hamkuniambia, kwanini mlinificha? Matokeo yake mchumba wangu ametishia kuondoka nyumbani usiku mzito kama huu" Nilimwaga chozi.
"Usilie Daring tulitamani sana kukueleza lakini tulijiuliza tutaanzaje kukueleza!'' Mama alinipetipeti mgongoni.
"Yamemwagika hayatazoleka." Nilihitimisha.
"Rejea chumbani kwako keti chini na mchumba wako mueleze hali halisi ya maisha yetu. Mwambie tukio aliloliona Leo lisimuumize kichwa ni suala la uhuru tuliouchagua wazazi wako. Mwambie asitishike kwa jambo aliloliona, mwambie twafanya hivyo ingawaje hatuna nia ya kuachana au kutengana. Mweleze kuwa tunampenda na kumjali pia kuheshimu uhuru wake." Baba alihitimisha.
Nilidamka pale Sofani kwa macho ya hatia na aibu nilielekea chumbani kwangu kule ambako sijui kama nitamkuta nimpendaye ametulia kwa amani au la! Anataka vita ya kutengana.
*****""""''''******"""""""**** *
"Amour naomba tuongee." Niliporejea chumbani kwangu nilimuomba mpenzi Amour tufanye maongezi.
"Tuongee Nini? I told you nataka niende kulala Hoteli sio hapa pasipo na heshima wala ustaarabu" Aliongea kwa hasira ya kufoka.👿
"Amour ninakupenda sana 😍mpenzi na ninajua jambo uliloliona halijakupendeza lakini pia naomba kulifafanua." Niliomba.🙏
"Ninakusikiliza. "Amour alitulia kisha akanipa nafasi nimweleze.
"Daring Kila nyumba haikosi matukio, Kuna matukio yanayoumiza na mengine yanapoza moyo. Samahani kwa lile tukio uliloliona." Niliendelea kunena.
"Tukio uliloliina hapa nyumbani kwetu sisi tunaliita uhuru, uhuru wa kuishi tunavyotaka, uhuru wa kunena na kukubaliana kulingana na matakwa ya watu wenyewe." Alinisikiliza.👂
"Binafsi ninayajua Maisha ya wazazi wangu lakini sijui nitaanzaje kukueleza" Akaniuliza.
"Ina maana usaliti huu wa Mamako unaujua tokea zamani!?" Nikamjibu
"Sio usaliti wa Mamangu tu Baba pia anahusika ndio maana nimekwambia kwetu ni uhuru." Akaniuliza.❓
"What kind of freedom was that!?" (Ni aina ya uhuru gani ule?) Nikamjibu.
"Uhuru wa kufanya maamuzi, uhuru wa kuchagua uhuru wa kukubaliana."
Akaniambia "Naomba ujieleze." Nikajieleza.
"Baba yangu na Mama yangu wamechagua kuishi wanavyoona inawapendeza, kwamba Baba yupo huru kulala na mwanamke yeyote anayempenda lakini kamwe hawezi kumuacha Mama na Mama hivyo hivyo atalala na mwanaume amtakaye lakini kamwe hawezi kumuacha Baba."
"Ndivyo walivyokubaliana?"Aliniuliza.
"Yes of course. Ndoa yataka moyo, Ba' na Ma' wamepatana kuleta wageni nyumbani lakini kamwe hawataachna."
"Jamani!!"🙊 Alishangaa. Akanena tena "lna maana yote haya uliyajua lakini haukuwa tayari kunifungukia."
"Ningeanzaje Daring!? 🥲
"Niliogopa Bria, niliogopa nilihisi hata ndoa yetu haitakua yenye furaha zaidi ya usaliti." Alijieleza.
"Kamwe hatutapita mkondo wao." 🛣️🚸 Niliongea siriasi.
"Really, kweli❓" Alianza kuniamini.
"Yes, trust me! Ninakupenda sana Amour wangu." Nilimwaminiisha.
"Kwahiyo ya Baba na Mama mkwe tuyaache."
"Tuongee yetu Baby."Akatabasamu na moyo wake ukatulia.
"Tulale Sasa Daring.",Alianza kunipenda tena.
"Hatuendi Hoteli!?" 🏩Nilimtania.
"Forget about it."Alijaa tabasamu. Tukavuta shuka na kujifunika ili tulale vizuri. Amour ameheshimu tukio aliloliona nyumbani, ameheshimu jambo aliloliona nyumbani Hana shaka, Hana wasiwasi.
************
TCHAO 💖
************
No comments:
Post a Comment