Saturday, July 5, 2025

MTEKAJI

 



MTEKAJI.


       Ilikua yapata saa sita usiku,⌚🌆 siku hyo niliwai kurejea nyumbani kwangu Airport🛬  maeneo ya Kipawa nilifanya kurejea ghafla sababu nilikua nimeisahau Documentary 📃muhumu ajili ya Interview niliyopangiwa kufanya usiku ule mbele ya Mabosi wangu wapya yaani Waasia watokao Japani kwa ufupi nilikua nasaka Ajira kiprofeshono mimi ni Mhasibu.💰🖥️


         Nilipofika nyumbani niliufungua mlango wa Sebuleni kwa kutumia ufunguo 🗝️🔐wangu private baada ya kufungua mlango nikaurudisha kwa bamizo lililotoa sauti iliyolia 'mbaaa'. Taa 💡 ya sebuleni ilikua ikiangaza Jerome mume wangu alisahau kuizima, sikujali. Nikaliita jina la mume wangu Jerome karibia mara tatu🔊 lakini hakuitikia, sikutia hofu moyoni nilijua keisha lala.😴 Nikafanya kuelekea chumbani kwetu, Master.🛌


     ''Daring Jerome.'' 😘Niliita tena nikiwa ninatembea kwa madaha pale ukumbini. Nisilolijua kama usiku wa kiza kumbe pindi ninamwita mwenzangu mwenzangu alikua katika harakati za kimvua nguo ili amlale mwanamke nisiyemjua Wala nisijue wapi alipomtoa. 


Alipoisikia sauti yangu haraka haraka akili zilimcheza akafanya hima kuchukua mabranket na mashuka akamfunika yule Malaya aliyekua hoi amelala 'fofofo'🛌 baada ya hapo akaichukua mito na kumfunika vizuri yule Malaya ambaye nakili kwa kusema nilipoingia chumbani sikumuona bali nilimkuta mume wangu ameketi kitandani kamziba yule Malaya nisipate kumuona.😔


     "Maya mbona umerejea mapema si uliniambia utalala kwenye interview?" Aliniuliza.Aliniuliza ila mtimani sikupenda kwanini ninamwita alafu anikaushie kibubu🥺🤫


      Nikamjibu "Oh Daring Kuna Documentary muhimu zinahitajika kwenye lnterviwe nimeziacha kabatini." Wakati huo nimeketi juu ya mapaja ya mume wangu aliyenikumbatia kwa huba maridhawa.👩‍❤️‍💋‍👨💘


     "Ah! Usijali Maya  waweza zichukua." Aliniambia lakini ghafla hamu ya kufanya mapenzi na mume wangu Jerome ilinivamia. Kwa pupa nikaanza kukitoa kikoti nilichokivaa nikakitupa juu ya kitanda, nikavamia lips za mume wangu Jerome na kuanza kunyonya ulimi wake kama Sina akili.💋👩‍❤️‍💋‍👨

    "Mume wangu nataka tufanye mapenzi kitandani." Nilianza kudeka.

     "Maya my Love ungefanya kwenda Interview kwanza kesho ukirejea tutainjoi balaa." Alinipooza.
    

"Kwahiyo mpenzi unataka nizidiwe na kuchepukia huko kwenye interview?" Nilimnunia. 🛌☺️


     "Hapana my Queen 👸 naomba Leo tubadilishe mazingira hivyo basi twende tukafanyie bafuni si unajua raha ya maji💦 mapenzini." Alinikubalia akanibeba juu juu kama furushi la pamba na kunikimbiza bafuni ambako mchezo wetu wa ngono ulipamba moto🤡

....................

Tulipomaliza kuifurahia ngono Jerome aliniomba nielekee Jikoni kumwandalia kikombe cha Kahawa. ☕Yeye alitangulia kuelekea chumbani. Mie kufika Jikoni nilipigwa na butwaa‼️ : 'eeh! Jamani kuna mwanamke ameketi chini karibu na makabati ya vyombo kakunja miguu na kujishika tama.' Niliogopa, nilishtuka na kuingia hofu 🥺😶‍🌫️🫥nikafikiria yamkini mwanamke huyu ni mlozi au mwizi ama mtu mbaya.

    "Wewe ni nani ndani ya Jiko langu?" Nilimuuliza nikiwa nimeshika mwiko mzito ili akitaka kunidhuru nipambane naye, kama Waswahili wanavyosema Hamadi kibindoni siraha mkononi. Hakunipa jibu zaidi ya kunitazama.

     "Ninakuuliza tena wewe ni nani na pia unatafuta nini ndani ya nyumba yangu tena umeingiaje humu?" Nilimuuliza wakati huo Jerome alikua ametoka kwa kasi kule chumbani kwetu na Sasa amekuja kule Jikoni anashangaa. Nikamgeukia Jero na kumtwanga swali:

     "Jerome huyu ni nani na ameingiaje humu ndani?" Jerome alinisikiliza kwa makini bila kuonesha hofu Wala wasiwasi.


      "Simjui mtu huyu." Jerome alinijibu.


     "Una hakika kwamba haumjui mtu huyu mume wangu?" Nilimuuliza Jerome.⁉️


     "Aki ya Mungu! Ni mara yangu ya kwanza kumuona." Alinijibu akaongea tena: "Tufanye kupiga simu Polisi 👮🚓tuwape taarifa kwamba tumevamiwa na mwanamke asiyejulikana.

      
      "No no no! Tusifanye kuharakia huko cha msingi tumhoji na kumjua zaidi." Nilitia wazo.


       "Hapana Maya, huyu sio mtu nzuri." Jerome aliitetea kauli yake. Akafanya kuchukua simu 📱 yake awapigie Polisi haraka nikamzuia.


     "Usipige Jerome, usipige tafadhali." Alinisikiliza. Tukamgeukia yule mwanadada aliyeketi pale chini sakafuni tama shavuni tukaendelea kumhoji. 


     "Tueleze, umeingiaje humu ndani?" Nilimuuliza, taratibu aliinua USO wake na kututazama naye akaufungua mdomo👄 akajibu.



     "Sifahamu na sielewi nimeingiaje humu ndani mimi binafsi ninajishangaa na kujiuliza niko wapi jamani?!"‼️ Alijibu mie moyoni💜 nikajisemea yawezekana mwanamke huyu amepatwa na matatizo makubwa, yapaswa kumsaidia.



      "Ok. Amka twende ukaketi sebuleni. Nilimshika 🤝mkono nakumuinua pale alipoketi tukaelekea  Sebuleni.


     "Mume wangu mwandalie huyu Bi.Dada maji, pia huyu Bi. Dada atalala hapa hapa." Niliongea baada ya kuketu sofani pale sebuleni.

      "Nini!? Alale hapa hapa mwanamke tusiyemjua." Jerome alipinga.


     "Jerome uwe na huruma sasa hivi ni saa saba usiku tena huyu Dada hajui yupo wapi? Kwahiyo unataka aondoke aende wapi?" Nilimuuliza Jerome.


      "Popote Kambi,🏡 lazima aondoke." Aliongea.


     "Hawezi kuondoka hadi kesho na mimi muda huu ninawai lnterview kwahyo mgeni wetu atalala sebuleni ninaomba umjali na kumlinda." Niliongea wakati huo tayari nishachukua Documentary zilizoitajika kwenye Interview, nikaufunga 🚪mlango wa sebuleni na kutoweka. 👣Nimewaacha Jerome na Dada mgeni pale Sebuleni tena sikua na wasiwasi juu ya mume wangu kumtaka kingono yule mgeni maana ninamjua Jerome wangu hanaga tabia hiyo ni mtulivu na mwaminifu.


*........*.........*......*.....

      "Unataka kuniambia haukumbuki ni wapi ilipotoka na wapi hupo kwa Sasa? Jerome alimhoji yule Dada mgeni na mpotevu.


      "Sikumbuki kwa kweli lakini mara ya mwisho Ninakumbuka nilikua Maisha Club nikinywa pombe, nikicheza muziki na baada ya hapo nilihisi kizunguzungu kunikamata nikalala usingizi wa pono."😪 Yule Dada mrembo alijieleza.


      "Naweza kukapa maji 💧unywe." Jerome aliongea.


     "Bila shaka waweza nipa." Mdada alimjibu Jerome. Jerome akaelekea Jokofuni na kumimina maji baridi lakini pasina yule Dada kumuona Jerome au kujua jambo lolote Jerome alitoa kikopo chenye vidonge 💊vya usingizi akachukua kidonge kimoja na kukidumbukiza ndani ya bilauri ya maji🍸 Kisha akaelekea kumpatia yule mrembo.


       "Karibu mrembo, karibu maji." Alimkabidhi yule mgeni ile birauli ya maji mdomoni amejaa tabasamu. Mrembo yule aliyapokea kwa shukrani lakini kabla hajayanywa aliyatazama sana yale maji na kushituka 😶😶‍🌫️😱kidogo.

        "Jesu!" ‼️Aliyakodolea macho yake maji.

       "Tatizo nini?"Jerome alimhoji.


      "Kumbukumbu zangu zinarejea." Alianza kurejewa na kumbukumbu za usiku alipokua Maisha Club.


      "Hiki kidonge ndani ya maji........." Aliongea akiyakodolea macho maji yaliyokilainisha kile kidonge alichokiona ndani ya maji.

      "Usiku wa Leo tulikua tunacheza muziki 🕺💃pale Maisha Club mimi pamoja na wewe. Ukanitilia kidonge, nilipokunywa tu nilianza kusinzia." Kumbukumbu zilimrejea.


      "Sasa wewe si ni Malaya?! Embu ondoa ushamba njoo chumbani tufanye ngono." Jerome aliongea, akadamka pale alipoketi na kuelekea pale alipoketi yule Dada mgeni.


     "Pumbavu wewe,😬😡 shindwa kabisa nitamueleza mkeo na pia nitaenda Polisi kuripoti" Yule Dada alijitetea 


      "Una ushahidi!?"Jerome alimuuliza yule Dada. Dada wa watu hakuwa na jibu tosha yeye akajidamsha pale alipoketi tayari kuanza kuondoka kutoka ndani ya ile nyumba hata kabla hajatoka alimsikia Jerome akitamka.🗨️

      "Wewe ni chombo tu tena chombo cha kufurahisha wanaume." Mrembo wa watu hakuyajali maneno ya Jerome alichofanya yeye ni kuondoka kiustaarabu.

*.....*.......*.......*


Asubuhi mapambazuko mie Maya nilirejea nyumbani kwetu tena sikumkuta yule Bi. Dada niliyemuacha usiku wa Jana akiwa pamoja na Jerome mume wangu. Jerome aliniambia yule Dada alipata kumbukumbu zake na kutambua pahali alipotoka. Kwa ufupi yule Dada aliondoka nyumbani kwetu.

     Basi mie huyo nikakusanya kusanya nguo chafu za mume wangu Jerome nikaziloweke na kuanza kufua maana  ni wajibu wangu mimi kama mke katika nyumba. Katika kukagua kagua ndani ya mifuko ya Suruali za mume wangu ili niondoe vilivyomo kama vile pesa💸 au chochote muhimu  kilichomo, nilishtuka baada ya kuikuta Ticketi ya kuingilia Maisha Club imetulia na kujaa tele ndani ya mifuko ya mume wangu. Nikaiangalia ile Ticketi mara mbili mbili nishindwe kuimaliza.

        "Jerome!" Nilimwita mume wakati huo nimeificha ile Ticketi asipate kuiona.

      "Laazizi🥰" Aliniitikia na kutoka kule sebuleni alikokua akitazama marudio ya Dabi ya watani wa jadi yaani Simba na Yanga.⚽

     "Hivi karibuni umeendapo Club?"♣️ Nilimuuliza.

     "La,asha!🙂‍↔️ My Daring. Kwanini umeuliza." Alinitazama bila hofu ilihali ananisoma  na kutaka kuijua hofu yangu.

    "Ah! Nimemiss tu kwenda Club pamoja na wewe sweet ❤️" nilimficha ilikuuficha wasiwasi wangu.

     "Tufanye kwenda Leo My love🥰." Wangu alinibembeleza.

      "Kwa Leo haitawezekana Huba langu si unajua Leo natakiwa kwenda kukabidhiwa Ofisi maana Interview niliyoifanya jana ilienda poa." Niliyaficha yangu yatiayo hofu juu ya Jerome.


    "Sawa Laazizi utaniambia ukiwa tayari." Aliongea kwa tabasamu. Mie huyo nikaelekea kufua kumbe mtimani Kuna fundo☹️ limenikaba. Eti jamani nirejee usiku wa Jana kisha nikute mlango umefungwa ajabu nimkute mwanamke mwenzangu Jikoni kalewa🍾🥃 hajielewi!? Hapana. Baya zaidi nakutana na Ticketi ya kuingilia Club kubwa yenye hadhi ya nyota✨ tano.😢 N'tangoja mie👌na stress zitanipanda kwa juu💓.

""""""""*""""""""""*"""""*

Jioni ilipowadia mie nikiwa natembea Barabarani 🛣️🚸kuelekea kule Ofisi niliyopangiwa, maana nilikwishafauru Interview yangu, kidogo nilishtuka baada ya mtu kunigusa bega langu la mashoto nyuma mgongoni. Nilipogeuka kumtazama, macho yetu yakagongana👀 

       "Aah!" ☺️Nilitabasamu mara baada ya kukutana na mdada ambaye usiku wa Jana nilimkuta ameketi Jikoni haelewi na hajielewi. 


     "Habari Yako Dada!?"👊 Alinisabahi na mie kwa mbwembwembwe nilimuitikia.

    "Njema tu!"👍 Akaongea:

     "Niite Zendaya. Samahani ile siku uliponikuta Jikoni kwako sikuweza kujitambulisha maana nilikua sijitambui."

    "Haina shida waweza kuniita Maya Nina furaha uliporejewa na kumbukumbu ukakumbuka kurudi nyumbani kwako."

     "Asante kwa upendo wako." Alinishukuru kisha akaendelea kunena.

     "Dada Kuna jambo nataka nikueleze kuhusu mumeo, kwa kweli anatabia chafu sana.😾

       "Tabia chafu!!!? 😼Embu nieleze kwa urefu zaidi." Nilikua na shahuku 🤭😋ya kutaka kujua zaidi.

       "Kikubwa usijekunifikiria mie kama adui aliyekuja kuiharibu ndoa Yako, hapana Sina lengo hilo ila tu nikuambie mumeo anatabia chafu kwa kweli." Aliendelea kueleza.

     "Ni ukweli usiopigika kusema kuwa usiku wa Jana nilipoteza kumbukumbu lakini nyuma ya pazia mumeo anahusika kwa asilimia mia moja.💯 Tulikutana Maisha Club tukala, 🍔tukanywa 🍻na kucheza Muzik🎼 lakini katikati ya Muzik na ngoma mumeo alinitilia dawa ya usingizi hatimaye nilijikuta nimezima na kuzinduka nikiwa nimelala juu ya kitanda chenu hapo ndipo nilipata mwanya wa kutangatanga na kujikuta naangukia Jikoni ulikonikuta nimeketi " Zendaya alinishutua kwa yale maelezo.

    "Ulinipigania nisiondoke usiku wa Jana ajabu mumeo alilazimisha kuita Polisi ninashukuru ulinilinda. Ulipoondoka aliniletea maji 💦ambayo ndani yake nilikuja kugundua yana kidonge kidogo  cha usingizi ambacho kilikuja kunipa kumbukumbu ya matukio yaliyofanyika Jana. Kwahiyo Dada uwe makini na tabia za mumeo." Aliongea kwa hisia.

      
     "Mungu wangu Ina maana mie nahangaika kutafuta mkate 🥪wa Kila siku alafu mume wangu Jerome anaenda kusaka Malaya kwenye vilabu vya pombe"  Niliongea kwa uchungu mkuu.

       "Dada yangu unahitaji kupata vithibitisho sababu mumeo Jerome kila siku huja Maisha club na kuopoa madada poa wapya wapya tena wanaojiuza." Zendaya aliongea.
     
      "Jamani !! Jamani 😿! We Zendaya acha kunitisha mie 😢" Nilianza kuogopa.

   "Nina Ombi moja siku ya Leo omba ruhusa kazini ifikapo usiku nipigie simu tukutane Maisha Club ili ujionee uchafu wa mumeo. Wakati wewe unafanya kazi za usiku kumbe yeye kazi yake kufucky Malaya. Dadangu UKIMWI upo usije ukaangamia bure😁." Zendaya aliongea na kuagua cheko.😅😂🤣


     "Vizuri sana Zendaya, mume wangu anajifanya mtakatifu kumbe hamna kitu pale" Nilimuunga mkono Zendaya.👊👏

*.........*.........*........

Usiku wa siku ile niliaga kazini kwa kudanganya kwamba kichwa kilikua kinanisumbua ruhusa yangu ilikubaliwa ilimradi nilikua bukheri mzima. Nilipotoka tu Ofisini nilimpigia simu Zendaya:

 ' Shogangu tukutane Maisha Club' 


Baada ya kumpigia simu Zendaya nikamkumbuka kibaka mmoja hapa mitaani kwetu, muhuni asiyestafu uhuni wahuni wenzie wanamwita 'Baasha mchovu' nikamweleza Baasha mchovu 'Kuna mchumba nataka kukukabidhi we jiandae tukutane Maisha Club mida hii hii ya Jua kuzikwa'  🌄 Baasha  akafurahia.😉

Mie huyo na kiherehere changu nikawai na kuwa wa kwanza kufika Maisha Club yaani lengo likiwa ni kumfumania mume. Zendaya na Baasha walipowasili Moja moto na Moja baridi zililetwa 🍻🍺na kutandazwa juu ya Meza yetu. Hapo kumbuka tumeketi pamoja na kujibanza upenuni kwenye kiza ambacho hakuna Mtu ambaye angeweza kutuona ilihali sie wenye macho ya popo tuliona Kila kilichoendelea mwangani.

.
     Kama zari ☺️ Jerome aliingia Club akajiketisha mbele ya Caunta na kuagiza manywaji ayapendayo wakati huo huo Muzik 🎷🎶uliendelea kutema sauti.za burudani, mabanati na warembo walicheza kuifurahia ile siku. Wenye macho tulimuona Jerome akiongea na mrembo mmoja nzuri wa kuvutia walipomaliza maongezi walijipeleka katikati ya dimba la Muzik hapo ndipo Zendaya akamwambia Baasha mchovu Kuna taa💡🏮 ya hatari inawaka mbele ya yule Binti.

       Pasina kupoteza muda Baasha mchovu alisogelea mbele ya kaunta angarau asipitwe na matukio yanayomhusu yule mwovu Jerome. Kama alivyohisi Zendaya hakukosea Jerome alionekana akikitoa kikopo chenye rangi nyeupe na kutoa kidonge kimoja👍💊 ndani ya kile kikopo cheupe kidonge kile alikirushia haraka ndani ya bilauri yenye Juisi aliyokua akiinywa yule binti aliyekua akiyarudi mapigiti.

     Kumbe Baasha mchovu alikwishaona lile tukio akajipanga akiwa na dawa ya kumvuruga Jerome pamoja na juisi safi mkononi. Akachanganya na kuyakoroga yote kwa kasi ya ajabu akaelekea pale ilipo birauri yenye Juisi ya yule Binti akaichukua na kuimwaga chini pasina yule Binti kuona. Basi Jerome kuona vile alipigwa butwaa.🤔

     "Nini wewe! Umetumwa Nini?" Jerome alimpigia Baasha mchovu ukelele lakini Baasha alikua na mbavu zilizopanda juu na misuri iliyoshiba tofauti na Jerome ambaye alikonda na kutia huruma kama bati lililoliwa na kutu.

         "Embu kunywa hii juisi🍹 pasina ubishi." Kitendo bila kuchelewa Baasha alimywesha Jerome ile juisi iliyotiwa dawa ya kumvuruga kichwa na kumpotezea nguvu za mwili.

      "Umeninywesha Nini?...... Umeninywesha Nini!?..... Kwanini umeforce kuninywesha?"  Jerome alianza kuvurugwa 

   "Mimi sio semaji semaji wako yule pale anakuja." Baasha  mchovu alitupungia mkono ishara ya kumfuata maana kazi ya kumuingiza nyoka pangoni ilitimia. Mie na Zendaya tulifuata pale aliposimama Baasha na mume wangu Jerome.


     "Maya my Daring....." Jerome aliongea kwa kutetemeka 🫥😰🤯mara baada ya kuniona nimesimama pamoja na Zendaya.🧍‍♀️🧍‍♀️

    
     "Jerome mie Maya nahangaika kufanya kazi kwa bidii ili wewe mbaba ule, unywe na kuyafurahia Maisha kumbe wewe mwenzangu kazi yako ni kutafuta Malaya, kuwapeleka nyumbani Kisha kuzini nao juu ya kitanda tunachotumua kulala?😿 " Nilimuuliza macho kayatoa pima👀 akitutazama kwa zamu. 


      "Samahani Maya nitajieleza mpenzi...... Tafadhali sana nisamehe." Kichwa chake kilivurugwa Sasa akawa kama teja mlevi.


     "Sina haja ya kusikiliza maelezo yako labda ujieleze kwa huyo mume niliekutafutia anaitwa Baasha mchovu." Mie na Zendaya tulianza kuondoka.


     "Maya mke wangu..... Maya wangu..... Maya" Aliongea japokua sauti haikumtoka vizuri dawa ilianza kumlevya.


        "Wewe ni chombo tu,chombo Cha starehe." Baasha mchovu alimwambia Jerome, akamkumbatia yule dhaifu aliyevurugwa akampiga mabusu👨‍❤️‍💋‍👨 mfululizo shavuni.


      "Tuondoke my Baby." 😍Baasha mchovu alimwambia Jerome ambaye macho yalimtoka pima asielewe kamchezo alikochezewa.


******..........*****

TCHAO

******.......*******
     

      


        

No comments:

Post a Comment

OBIMO CHETA

 OBIMO CHETA (MY LOVE REMEMBER). Siku Derila alipokutana na Singa, ilikuwa ni siku nzuri, siku ya kusheherekea sikukuu ya Christmass,🌲🎄⛪...