Hukutendea haki mapenzi
πππππππππ
πππππππππ
πππππ’π₯ππ
Hukutendea haki mapenzi,
Mara uliponifukuza,
Ulisema nimekuudhi,
Moyo wako nimechukiza,
Mara ulinipigiza,
Thamnani ya langu chozi,
Lote umelikanyaga.
Hukutendea haaki mapenzi
Mara uliponitukana
Maneno yenye puuzi,
Mdomoni uliyapayuka
Siku nimekufania,
Chumbani ukibarizi,
Mwengine ukifurahia
Mwengine ukifurahia,
Zawadi njema mapenzi,
Mimi unaniuchukia,
Waniona jinamizi,
Mimi wanichukia,
Waniona kama mbuzi
Penzi ulininyimia.
Hukutendea haki mapenzi,
uliponifukuza,
Njiani nalimwaga chozi,
Dunia imeshanifunza,
Penzi lataka heshima,
Sio kwa mafarakano,
Ungelitumia hekima,
Sio kwa matukano
Chorus
Pesa zimekupa jeuri,
Zimekujengea kiburi,
Wanifanyia ukatiri,
Penzi lako kwangu ajari,
Tukae chini tujadili,
Mapenzi uombe msamaha
Kwanini ukunifikiri,
Moyoni ukanipuuza,
Hukutendea haki mapenzi,
Hukutendea haki.

No comments:
Post a Comment